Nimekuwekea hapa Hotuba ya mke wa Mgombea wa urais Tanzania kupitia Ukawa Edward Lowassa aliyoitoa leo katika mkutano na wanawake jijini Dar es salaam,ampa sifa kem kem mme wake na jinsi atakavyowakomboa Watanzania,Lowassa naye azungumza jinsi alivyopata wakati mgumu kumshawishi mke wake kuhamia Ukawa...TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
HII HAPA HOTUBA YA FIRST LADY MTARAJIWA REGINA LOWASSA,AMWAGA SIFA KEM KEM ZA LOWASSA KWENYE MKUTANO DAR ES SALAAM
Nimekuwekea hapa Hotuba ya mke wa Mgombea wa urais Tanzania kupitia Ukawa Edward Lowassa aliyoitoa leo katika mkutano na wanawake jijini Dar es salaam,ampa sifa kem kem mme wake na jinsi atakavyowakomboa Watanzania,Lowassa naye azungumza jinsi alivyopata wakati mgumu kumshawishi mke wake kuhamia Ukawa...TAZAMA VIDEO HAPA CHINI