ANGALIA PICHA- SHEREHE ZA MAHAFALI YA 7 YA CHUO CHA UALIMU SHINYANGA (Shycom)


Katika pitapita za Malunde1 blog leo Ijumaa April 24,2015 ,tukakutana na hili tukio la Sherehe za Mahafali ya 7 ya Chuo cha Ualimu Shinyanga maarufu Shycom Cha mjini Shinyanga.Mahafali hayo yamehudhuriwa na mamia ya wakazi wa ndani na nje mkoa wa Shinyanga ambapo katika mahafali hayo wahitimu 441 wamepatiwa vyeti vyao.Miongoni mwao wamo wa ngazi ya Stashahada 30( wanaume 17 na wanawake 13) na Astashahada 411( wanaume 281,wanawake 130)-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog


Jukwaa kuu-Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la PSPF ndugu Andrew Mkangaa( wa tatu kutoka kulia)
Wazazi,wageni waalikwa katika mahafali ya wanafunzi wa chuo cha Ualimu Shycom wakiwa katika Chuo hicho

Kikundi cha Kwaya cha Wahitimu wakiimba

DJ Macsteve akifanya yake

Kwaya inaendelea
Wazazi wakifuatilia kilichokuwa kinajiri

Wahitimu wakiwa eneo la tukio

Sherehe inaendelea

Wahitimu wakiwa eneo la sherehe

Furaha ilitawala

Wengine wakawa hawaamini kama wanahitimu

Sherehe inaendelea

Wahitimu wakitafakari maisha baada ya chuo yatakuwaje

Wahitimu wa ngazi ya Stashahada wakiwa eneo la tukio

Meza kuu wakifuatilia kwa umakini kilichokuwa kinaendelea

Huku pembeni nako watu hawakulala

Mchoraji maarufu  bwana Abel (Mr Painter) wa mjini Shinyanga naye hakuwa tayari kupitwa na mahafali hayo

Zoezi la kupokea vyeti likaendelea

Wadau wa Malunde1 blog wakiwa katika picha ya pamoja na mhitimu Mariam
Picha ya kumbukumbu

Mama akikabidhi zawadi kwa mwanaye

Zoezi la utoaji zawadi likiendelea,mhitimu akishikana mkono na meneja wa PSPF mkoa wa Shinyanga ndugu Erick Chanimbaga

Mpiga picha maarufu kwa jina la JJ akiwajibika
Zoezi la utoaji Vyeti likiendelea
Zoezi la utoaji vyeti likiendelea,mhitimu akishikana mkono na mkuu wa Chuo cha Shycom Paschal Hai Mangwai

Mgeni rasmi akikabidhi vyeti

Wadau wa Malunde1 blog wakiwa eneo la tukio

Baadhi ya wahitimu wakiwa katika pozi baada ya sherehe kumalizika

Wahitimu hawa wakaamua kula keki ya pamoja

Viongozi wa serikali ya wanafunzi ya Chuo cha Ualimu cha Shycom waliohitimu wakiwa eneo sherehe kupiga stori mbili tatu na Malunde1 blog-
-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527