ANGALIA PICHA- SAFARI YA MWISHO YA BOSI WA TIP TOP CONNECTION ABDUL BONGE KUTOKA DAR KWENDA MOROGORO LEO

 
Mwili wa Abdul Bonge ukifikishwa nyumbani kutokea Muhimbili tayari kwa kusafirishwa.
 
Meneja wa TMK Wanaume Family na Yamoto Band, Said Fella na Nasib Abdul ‘Diamond’ wakiwaongoza waombolezaji.
  
Msanii wa filamu za Kibongo, William Mtitu, akiwaelekeza jambo waombolezaji.
 
Waombolezaji wakilia kwa uchungu.

SAFARI ya mwisho ya mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection na Meneja wa kundi hilo, Abdul Bonge, leo ilianzia nyumbani kwake Magomeni-Kagera jijini Dar es Salaam mwili wake iliposafirishwa kupelekwa mkoani Morogoro kwa ajili ya mazishi.

Wakati mwili wake ulipowasili nyumbani kwake kutoka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi, umati wa waombolezaji uliangua kilio na kusababisha hali ya kutosikilizana.
Picha GPL

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527