Jana Bunju B jijini Dar es salaam iliingia katika vichwa vya habari kila kona kutokana na kutokea kwa matukio mawili yaliyovuta mkusanyiko wa watu na minong'ono kila kona , baada ya lile tukio la gari aina ya Land Cruiser VX kuchomwa moto na wananchi baada ya kusababisha ajali na kuua watu watatu walio kuwa kwenye boda boda wamebebwa kama mshikaki.
Basi unaambiwa,jioni yake palitokea tukio la ajabu ambapo watu wawili mwanaume na mwanamke walio kuwa wakifanya mapenzi gesti kunasana na kushindwa kuachana mpaka walipoanza kupiga kelele na mhudumu na watu wengine kulazimika kuvunja mlango wa gesti na kuita polisi.
Polisi walikuja kuwachukua na Kuwapeleka kituo cha polisi cha Bunju Usalama huku wakiwa bado wamenasana.
Inasemekana mwanamke ni mke wa mtu hivyo mpaka inafika saa moja ssiku shuhuda wetu alipoondoka eneo la tukio inasemekana polisi walikuwa wanamsubiri mwenye mke ili awanasue.
Pia kulikuwa na taarifa kuwa jamaa mwenye mke anadai milioni Sitini ili awanasue...
Taarifa zaidi tutakuletea baadaye..........
Mtandao Huu Unakujali,Ni Wako!! Tunataka Tukutumie Habari zetu Zote Mara Tu Tunapozipandisha Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa Sasa Hivi ><<VITUKO>>,"MAPENZI",<<HABARI MSETO>>MAGAZETI
Mtandao Huu Unakujali,Ni Wako!! Tunataka Tukutumie Habari zetu Zote Mara Tu Tunapozipandisha Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa Sasa Hivi ><<VITUKO>>,"MAPENZI",<<HABARI MSETO>>MAGAZETI