Najua utapata maswali mengi ya kujiuliza inakuwaje mpaka binadamu anabakwa na samaki? alikuwa anafanya nini mpaka samaki akafanikiwa kumbaka wakati zile za story za kufanya mapenzi na mbwa zimekuwa za kawaida kabisa.
Habari iko hivi nchini Cuba kulikuwa na mchezo unahusisha watu kupigwa busu na samaki maarufu Dolphin au Pomboo kwa lugha ya Kiswahili aliyeko kwenye maji,yaani unasogea karibu na maji halafu anaruka nakuja kukubusu.
Sasa imetokea sintofafahamu baada ya mwanamke mmoja kukaa karibu na maji kwa lengo la kupata busu la Pomboo lakini Pomboo huyo kama kawaida alifanikiwa kumbusu na kurudi kwenye maji lakini alirudi mara ya pili kwa mama huyo na kumrukia kama mtu aliyetaka kubebwa.
Mwanamke huyo alikosea kitu kimoja baada ya pomboo huyo huyo kurukia alifungua miguu yake na kumpa urahisi papa huyo kumwingilia kimwili na kufanikiwa kumbaka.
Mmoja kati ya madaktari wa wanyama wa majini amesema kwa papa wako kwenye kundi la wanyama ambao huwa wana hamu kubwa ya kufanya mapenzi na kwamba kwa kiutalam madaktari hao hawawezi kushangaa jambo hilo.
Video ya mama huyo akibakwa na Dolphin iko hapa chini