AUAWA KISHA MWILI WAKE KUTELEKEZWA SHAMBANI HUKO MBEYA


Leo tarehe 18/12/2014 mtu mmoja amekutwa kando kando ya mto wa Ilolo uliopo jijini Mbeya akiwa amepoteza maisha kutokana na watu wasiojulikana na kumtelekeza kando kando ya mto,mpaka sasa hajatambulika ni nani na ni mkazi wa wapi.
 Wananchi wakiwa eneo la tukio
 Baadhi ya wakazi wa eneo hilo wakidhadhiana juu ya tukio hilo,la mauaji lililo tokea mtaa huo.



Picha na Fadhiri Atick mr pengo globu ya jamii Mbeya

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527