ANGALIA PICHA_LORI LILILOBEBA LAMI LALIPUKA HUKO MIKUMI

 
Lori lililokuwa limebeba mapipa ya lami likiteketea kwa moto baada ya kulipuka mapema leo asubuhi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro. Chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika.
 Lori lilokuwa limebeba shehena ya Mapipa ya Lami likiteketea kwa moto eneo la Mikumi Mkoani Morogoro Barabara kuu ya Morogoro Iringa


  


 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527