ANGALIA PICHA 5-KIJANA AVUA NGUO ZOTE KWENYE DARAJA LA IBINZAMATA MJINI SHINYANGA

BONYEZA HAPA UJIUNGE NASI TUKUTUMIE HABARI ZETU MARA TU TUNAPOZIWEKA 
Katika pita pita zake asubuhi hii,kamera za Malunde1 blog zimemnasa kijana ambaye hakujulikana jina lake mara moja akiwa amevua nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa na kung'ang'ania kwenye daraja la Kidau(Ibinzamata) mjini Shinyanga barabara ya Mwanza Shinyanga.Mashuhuda wanasema kijana huyo kafika darajani leo asubuhi na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine huku wakisema kuwa huenda amepandisha majini,ama katumia madawa ya kulevya yaliyomchanganya akili

Kijana akikatisha barabarani kwenda upande wa pili wa daraja

Kijana akining'inia darajani,hatukuweza kujua nini kimemsibu kijana huyo
Baadaye aliamua kutoka darajani kisha kuanza kukimbia hivyo barabarani kisha kulala barabarani

Akiwa amesemama barabarani.Mpaka tunaondoka eneo la tukio wasamaria wema walijitokeza kumkamata kisha kumvalisha nguo baada ya tukio hilo kuduma takribani  dakika 30
BONYEZA HAPA UJIUNGE NASI TUKUTUMIE HABARI ZETU MARA TU TUNAPOZIWEKA 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527