UKISTAAJABU YA MISS TZ 2014....!! UTAYAONA YA MISS UGANDA 2014,WAGANDA WADAI NI MBAYA!!!


missuganda
  Miss Uganda 2014 Leah Kalanguka na Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu hawachekani! Wakati Sitti akiwa kwenye kitimoto kwa kudanganya umri wake, waganda wamewakaba koo waandaji wa shindano lao kuwa Leah ni mbaya na hakufaa kuwa Miss Uganda.
“Miss Uganda World is your theme Beauty with a purpose or Ugly with a purpose?” Mganda mmoja aliwauliza waandaji wa Miss Uganda World kwenye Facebook. “Museveni is always embarrassing Besigye, now he declared him Miss Uganda,” alisema mganda mwingine kwenye Twitter.

“And so this Miss Uganda winner, I have been told super heroes are rarely attractive. I hope she can cure cancer.”

“United States is about to Invade Miss Uganda, she looks like Oil.”

Watu mbalimbali wakiwemo mastaa, wamemtetea Leah.


Bebe Cool ameandika: My take on miss Uganda is that I have no problem with her since I did not take part in the process of choosing her at any one time.i don’t understand why Ugandans r complaining yet they did not put in time to attend the events that led to that choice so let’s respect the choice that was made by the few who had time and interest to be there.

Naye Maurice Kirya ameandika:



My Ugandan Girl!

There is something in the way you carry yourself,
your confidence and the way you wear,
there’s something in the way you move,
like a feather gliding through the air
I know you think I got this from a book,
but I believe you were sent from heaven above
My Ugandan Girl.
I realize it’s in your eyes,
that spark that leads to paradise,
I see my future in your eyes,
or am I just so mesmerized?
I know you think I got this from a book,
but I believe you were sent from heaven above,
My Ugandan Girl
Gwe musaayi gwange,
Gwe bulamu bwange,
Gwe Suubi lyange,
Gwe Uganda yange,
My Ugandan Girl.


Congratulations Leah Kalanguka -Miss Uganda 2014-15

Leah aliyekuwa mkulima wa uyoga na mfugaji wa kuku aliteuliwa kuwa Miss Uganda 2014 kufuatia mabadiliko katika shindano hilo ambalo kwa sasa linafanya kampeni kuhusu kilimo. Leah Kalanguka, 23, aliwashinda warembo wengine 19 kwenye fainali hizo ambapo washiriki walitakiwa kukamua ng’ombe na kufanya kazi na kondoo na mbuzi.


Waandaji wa shindano hilo walishirikiana na jeshi la Uganda kulifanikisha na lengo lake ni kupromote ujasiriamali katika ufugaji kwa vijana. Katika shindano hilo, warembo waliulizwa maswali kuhusu kilimo. Kalanguka pia amesoma computer engineering and science katika chuo kikuu cha Makerere.

via>Kibonajoro

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527